Shindano la kumsaka mrembo wa Tanzania linatarajiwa
kufanyika leo, ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, ikiwa ni
ruhusa kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kutupilia mbali
pingamizi la mashindano hayo lililowasilishwa mahakamani na mmoja wa
waanzilishi wa Miss Tanzania, Prashant Patel.
Shindano hilo litashirikisha warembo zaidi ya 20 ambapo watachuana
↧