Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Madawa ya kulevya yamtesa Batuli.....

Mwanadada kutoka Bongo Movies, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amefunguka kuwa anaumia kuona listi ndefu ya Wabongo wanaosubiri kunyongwa nchi mbalimbali kwa kukutwa na dawa za kulevya. Batuli alisema...

View Article


Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 24 July 2014

Magazeti  ya  Leo  Alhamisi  ya  Tarehe  24  July  2014

View Article


Diamond Platnumz To Release A Second Video For "Mdogo Mdogo". Find Out Why

Diamond Platnumz gifted his fans and especially his mother who is his biggest fan with two videos on her birthday. Mdogo Mdogo and another massive collaboration with Iyanya dubbed ‘Bum bum’. Both...

View Article

Serikali Yawataka Wananchi kuwa Makini na Matapeli

Na Rose Masaka-MAELEZO-Dar es Salaam. Serikali imewataka  wananchi       kujihadhari na wizi ambao hufanywa na Taasisi za Fedha hewa ambazo zimekuwa zikidai kutoa mikopo kwa njia ya simu. Tahadhari...

View Article

Mwanamke aliyeasi Uislamu na kuolewa na Mkristo Asafirishwa kwenda Italia

Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuasi dini ya Kiislamu na kuolewa na Mkristo, Meriam Ibrahim, amesafirishwa kuelekea Italia baada ya kukaa ubalozi wa Marekani mjini Khartoum, Sudan kwa zaidi...

View Article


Ndege Ya Algeria Yapoteza Mawasiliano ikiwa na Abiria 116

SHIRIKA la ndege la Taifa la Algeria, limesema limepoteza mawasiliano na moja kati ya ndege zake iliyokuwa ikitoka Burkinafaso kwenda Algiers kupita Sahara.   Mawasiliano yalipotea dakika 50 baada ya...

View Article

Kesi ya Watuhumiwa wa Mtoto Wa Boksi Yaahirishwa tena

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro bado imeendelea kuahirisha kesi  inayowakabili watuhumiwa  watatu wanaokabiliwa na shitaka la kusababaisha kifo cha mtoto Nasra Rashidi (4) kwa madai ya...

View Article

Jaji wa Mahakama kuu afungua kesi ya madai ya sh.Milioni 300 kutokana na...

Jaji wa Mahakama Kuu, Grace Mwakipesile amefungua kesi ya madai ya kulipwa fidia ya Sh milioni 300 kutokana na majeraha na maumivu aliyoyapata katika ajali aliyoipata mkoani Shinyanga.   Amefungua...

View Article


Wanaodaiwa kulishambulia Gari la Magereza kwa Risasi Wapandishwa Kizimbani

Watu wawili wanaotuhumiwa kuhusika na tukio la kushambulia gari la magereza kwa risasi, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni wakikabiliwa na mashitaka matatu.   Watuhumiwa...

View Article


Waliotupa Viungo vya Binadamu Hadharani kukiona Cha Moto

Tukio la utupaji wa viungo vya binadamu jalalani, linalodaiwa kufanywa na  Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) cha Dar es Salaam,  linadaiwa kuandika historia mbaya nchini.   Wakati...

View Article

Magazeti Ya Leo Ijumaa Ya Tarehe 25 July 2014

Magazeti  Ya  Leo  Ijumaa  Ya  Tarehe  25  July  2014

View Article

Jokate Asaka Bwana wa Kumuoa

Katika kuonyesha amechoshwa na upweke, mwanamitindo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ameibuka na kusema kuwa sasa anasaka mwanaume wa kumuoa huku akitaja vigezo vya anayestahili kumuita mume.  Akizungumzia...

View Article

Kamati ya Mashauriano yatoa Wito kwa wajumbe waliosusia Mikutano ya bunge...

Katibu wa Bunge Maalumu  la Katiba,Yahya Khamis Hamad akizungumza na Wanahabari mapema leo mchana katika ofisi ndogo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dar,kuhusiana na maoni na...

View Article


Kundi lingine la uhalifu laibuka mkoani Dodoma....Vijana hao wanajiita...

Kundi kubwa la vijana wanaojiita wadudu wa dampo limeibuka mjini Dodoma na kufanya matukio ya uhalifu huku likihusishwa na mauaji ya watu wanne yaliyotokea hivi karibuni. Uwepo wa kundi hilo umezua...

View Article

Nick Minaj Ajianika Akiwa Nusu Uchi katika Cover la Wimbo wake mpya "Anaconda'

Nicki Minaj ni miongini mwa wasanii wa kike ambao hupenda kutengeneza attention na kiki kubwa kabla kazi yake kutoka na kuingia mitaani.  Sasa jipya ni kuhusu cover la wimbo wake mpya “Anaconda”....

View Article


Baada ya Kimya Kingi....Ali Kiba Aibuka na Ngoma Mpya Mbili, Bofya hapa...

Baada ya wapenzi wa muziki Tanzania kusubiri kwa muda mrefu sasa wamepata nafasi ya kujiburudisha na ngoma mpya kutoka kwa Alikiba.  Tarehe 25 Julai, 2014 Alikiba ameachia single mbili mpya kwa wakati...

View Article

Lulu Michael Amfungukia Ali Kiba Na Kuwakoromea Wanaoendekeza...

Ali Kiba ameachia  nyibo mbili  kwa  mpigo ambapo response ya mashabiki ni nzuri. Sasa kupitia Instagram star wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu" amefunguka mambo mengi  sana  kuhusiana  na  Ali...

View Article


Rais Kikwete Amuapisha Jaji kiongozi wa mahakama kuu ya Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete akimuapisha Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Shaban Ally Lila leo jijini Dar es Salaam.  Jaji Kiongozi wa Jamhuri ya...

View Article

Aibu: MJOMBA Afumaniwa na Mke wa MPWA wake wakingonoka Gesti

Timbwili la aina yake lilifumuka ndani ya gesti moja iliyopo Mbezi Afrikana jijini Dar es Salaam (jina kapuni), kufuatia kijana aliyefahamika kwa jina moja la Kelvin kumkuta chumbani mtu aliyedai ni...

View Article

Sakata la Viungo vya Binadamu Vilivyotupwa Dar: Serikali Yaifunga Hospitali...

Hospitali ya Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) kinachohusishwa na utupaji wa viungo vya binadamu mithili ya takataka, imefungiwa kwa muda usiojulikana baada ya kugundulika kutokidhi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>