Na Rose Masaka-MAELEZO-Dar es Salaam.
Serikali
imewataka wananchi kujihadhari na wizi ambao hufanywa na Taasisi
za Fedha hewa ambazo zimekuwa zikidai kutoa mikopo kwa njia ya simu.
Tahadhari
hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Assah
Mwambene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.
Amesema
kuwa Taasisi hizo zimekuwa
↧