Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali Yawataka Wananchi kuwa Makini na Matapeli

$
0
0
Na Rose Masaka-MAELEZO-Dar es Salaam. Serikali imewataka  wananchi       kujihadhari na wizi ambao hufanywa na Taasisi za Fedha hewa ambazo zimekuwa zikidai kutoa mikopo kwa njia ya simu. Tahadhari hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Assah Mwambene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam. Amesema kuwa Taasisi hizo zimekuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>