Katika kuonyesha amechoshwa na upweke, mwanamitindo Jokate Mwegelo
‘Kidoti’ ameibuka na kusema kuwa sasa anasaka mwanaume wa kumuoa huku
akitaja vigezo vya anayestahili kumuita mume.
Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate alisema kuwa hana ‘mtu’
ila atakapotokea mwenye vigezo anavyotaka, hatakuwa na sababu ya
kumkataa. “Kwa sasa sina mpenzi wala mchumba, akitokea sina
↧