SHIRIKA la ndege la Taifa la Algeria, limesema limepoteza mawasiliano
na moja kati ya ndege zake iliyokuwa ikitoka Burkinafaso kwenda Algiers
kupita Sahara.
Â
Mawasiliano yalipotea dakika 50 baada ya ndege hiyo kupaa kutoka mji wa Ouagadougou, Burkinafaso shirika hilo limeeleza.
Â
Ndege namba AH 5017 ilikuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita wa ndege hiyo.
Â
Chanzo cha habari
↧