SHIRIKA la ndege la Taifa la Algeria, limesema limepoteza mawasiliano
na moja kati ya ndege zake iliyokuwa ikitoka Burkinafaso kwenda Algiers
kupita Sahara.
Mawasiliano yalipotea dakika 50 baada ya ndege hiyo kupaa kutoka mji wa Ouagadougou, Burkinafaso shirika hilo limeeleza.
Ndege namba AH 5017 ilikuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita wa ndege hiyo.
Chanzo cha habari
↧