Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kesi ya Watuhumiwa wa Mtoto Wa Boksi Yaahirishwa tena

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro bado imeendelea kuahirisha kesi  inayowakabili watuhumiwa  watatu wanaokabiliwa na shitaka la kusababaisha kifo cha mtoto Nasra Rashidi (4) kwa madai ya kutokamilika upelelezi.   Watuhumiwa hao ambao ni baba mzazi wa mtoto huyo, Rashid Mvungi (47) mkazi wa Lukobe pamoja na wanandoa Mariam Said (38) na Mtonga Omari (30) wote wakiwa ni wakazi wa mtaa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>