Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Mahakama Yamtia Matatani Freeman Mbowe .....Yasema ana kesi ya kujibu katika...

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameingia matatani baada ya Mahakama ya Wilaya ya Hai kuona ana kesi ya kujibu katika mashtaka ya kumshambulia mwangalizi wa ndani katika uchaguzi mkuu wa mwaka...

View Article


Kortini kwa tuhuma za kumteka trafiki wa Kike

Alexander Msowoya (35), ambaye ni mkazi wa Chang’ombe, jijini Dar es Salaam, amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Magomeni akikabiliwa na shtaka la kumteka nyara askari wa kike wa usalama barabarani....

View Article


FDLR wameomba kuweka chini silaha - Benard Membe

Wapiganaji wa kundi la waasi katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC la FDLR limeandika barua kwa nchi za Jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika SADC ya kuomba kuweka silaha chini na kutaka amani...

View Article

Tangazo la Nafasi za Kazi

Neema Recruitment Agency ni wakala wa ajira na nafasi za kazi. Kwa niaba ya mteja wake, kampuni inatangaza nafasi za kazi za saloon ( SALOON WORKERS ) kwa waombaji  wenye  sifa  zifuatazo : 1. Awe wa...

View Article

David Kafulila: Siogopi kushitakiwa na IPTL

MBUNGE wa Kigoma Kusini kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, David Kafulila, amesema haogopi kushtakiwa na kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited ( IPTL) kwani hata watu wasio na haki...

View Article


Baby Madaha: Wasanii Wengi ni WACHAWI

Staa  wa  kike  anayefanya  vizuri  katika  tasnia  ya  muziki  na  filamu  nchini, Baby  Joseph  'Baby Madaha'  amewatolea  uvivu  wasanii  wenzake  kwa  kuifumua  tasnia  hiyo  kuwa  asilimia  kubwa...

View Article

Mfanyakazi wa Kampuni ya Ving'amuzi Apiga Picha za Utupu

Mfanyakazi  wa  kampuni  ya  ving'amuzi ( jina kapuni)  tawi  la  Moshi  anayefahamika  kwa  jina  moja  la  Neema, anayedaiwa  kuwa  ni  mke  wa  mtu  ameipaka  matope  kampuni  hiyo  baada  ya...

View Article

CHADEMA Yawatuliza Wananchi.......Yaahidi Katiba Mpya ni lazima Ipatikane

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema Katiba mpya ya Tanzania itapatikana na kusisitiza kuwa suala la kundi la wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba linalounda Umoja wa Katiba ya Wananchi...

View Article


Magazeti ya Leo Jumatano ya tarehe 16 July 2014

                            Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  tarehe  16  July  2014

View Article


Mahakama Yamsaka Padri wa Kanisa Katoliki anayekabiliwa na kesi ya Kumlawiti...

Jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa, limeshindwa kusikiliza rufaa iliyokatwa na upande wa Jamhuri kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyomwachia huru Padri wa Kanisa Katoliki, Sixtus Kimaro...

View Article

Ramadhani Yamaliza BIFU la Wema Sepetu na Penny

Staa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu amesema baada ya kutokuwa na maelewano kwa muda mrefu na mtangazaji maarufu Bongo, Peniel Mungilwa ‘Penny’, sasa ameamua kumsamehe rasmi kwa heshima ya Mwezi...

View Article

Kesi ya Waliokutwa na Bomu bila Kibali Yaahirishwa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Julai 29 mwaka huu kuendelea kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamhuri katika kesi ya kukutwa na bomu bila kibali, inayowakabili watu wanne.   Washitakiwa...

View Article

Kuitwa Kwenye Ajira Nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant...

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, anawatangazia wafuatao waliofaulu usaili wa kujaza nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatakiwa kuripoti Makao...

View Article


Shilole amtetea Serengeti Boy Wake, Asema wako sawa Kiumri

Mwanadada anayefanya vizuri katika  tasnia  ya  muziki wa kizazi kipya, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametetea maisha yake ya kimapenzi na Nuh Mziwanda, akisema madai kwamba ni kijana mdogo kuliko yeye,...

View Article

Maajabu ya Dawa ya JIKO katika Kumaliza na Kuponyesha Tatizo la Nguvu za Kiume

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa  dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha...

View Article


UTAFITI: Harufu mbaya ya Kujamba ( Kutoa Ushuzi ) Inazuia Magonjwa...

Kila mmoja wetu kwa wakati fulani huhisi kuvimbiwa na gesi nyingi tumboni.   Suluhu ya pekee hapa huwa ni kujamba ili kupunguza gesi hiyo tumboni Sasa Wanayansi katika chuo kikuu cha Exeter, nchini...

View Article

Moto wateketeza nyumba tatu Mwananyamala jijini Dar.....Askari wa Zima moto...

MOTO mkubwa unaodaiwa kusababishwa na hitilafu ya umeme, jana asubuhi umeteketeza nyumba ya mkazi wa eneo la Mwananyamala Hospitali, iliyopo Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, Mkwanda Rajabu. Mbele...

View Article


Matokeo Ya kidato cha 6 -2014 Yatangazwa.....Bonyeza hapa kuyaona Matokeo Yote

Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21, yametoka na jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 wamefaulu katika madaraja ya I- III. Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa...

View Article

Matokeo ya FOMRM SIX 2014: Shule 10 Zilizoongoza na Shule 10 za Mwisho ziko Hapa

Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21, yametoka na jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 wamefaulu katika madaraja ya I- III. Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa...

View Article

Alichokisema Baba yake Nuh Mziwanda baada ya kusikia mwanae kajichora tatoo...

Wiki kadhaa zimepita tangu Nuh Mziwanda aamue kujichora tatoo yenye jina la mpenzi wake Shilole. Leo baba yake mzazi kazungumza juu ya hatua hii aliyoamua kuifanya mtoto wake Nuh kwa upande wake....

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live