Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, anawatangazia wafuatao waliofaulu usaili wa kujaza nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji (Assistant Inspector of Immigration) wanatakiwa kuripoti Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, Mtaa wa Loliondo Kurasini, Dar es Salaam tarehe 29 Julai 2014, saa 2:00 asubuhi.
Aidha, wahusika wote wanaelekezwa kufika kwa wakati wakiwa na vyeti halisi vya
↧