Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Matokeo ya FOMRM SIX 2014: Shule 10 Zilizoongoza na Shule 10 za Mwisho ziko Hapa

$
0
0
Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 - 21, yametoka na jumla ya watahiniwa 30,225 sawa na asilimia 85.73 wamefaulu katika madaraja ya I- III. Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825.   Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>