Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

FDLR wameomba kuweka chini silaha - Benard Membe

$
0
0
Wapiganaji wa kundi la waasi katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC la FDLR limeandika barua kwa nchi za Jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika SADC ya kuomba kuweka silaha chini na kutaka amani nchini humo. Akitoa taarifa juu ya kundi hilo kwa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania, Waziri wa Mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa Benard Membe amesema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>