Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

David Kafulila: Siogopi kushitakiwa na IPTL

$
0
0
MBUNGE wa Kigoma Kusini kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, David Kafulila, amesema haogopi kushtakiwa na kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited ( IPTL) kwani hata watu wasio na haki wana ujasiri wa kwenda mahakamani.   Hayo yamebainishwa kwenye taarifa iliyotolewa na mbunge huyo kwa vyombo vya habari akidai huo ndio msimamo wake baada ya kupata taarifa kupitia vyombo vya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>