Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mahakama Yamtia Matatani Freeman Mbowe .....Yasema ana kesi ya kujibu katika mashitaka ya kumshambulia mwangalizi wa uchaguzi mkuu wa 2010

$
0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameingia matatani baada ya Mahakama ya Wilaya ya Hai kuona ana kesi ya kujibu katika mashtaka ya kumshambulia mwangalizi wa ndani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.    Uamuzi huo ulitolewa jana na hakimu mfawidhi wa wilaya hiyo, Denis Mpelembwa mbele ya Mbowe, wakili wake, Issa Rajabu na mwendesha mashtaka, Inspekta Marwa Mwita.   Mpelembwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>