Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Profesa Mwandosya atangaza nia yake ya Kugombea Urais 2015.....Asema itakuwa...

MBUNGE wa Rungwe Mashariki na Waziri asiyekuwa na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, amefunguka kwa mara ya kwanza na kuelezea mwelekeo wake wa kisiasa na hasa nia yake ya kuwania urais mwaka...

View Article


Frederick Sumaye anusurika kifo kwenye ndege

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amenusurika kifo hivi karibuni baada ya ndege ya shirika la Precision Air, iliyokuwa ikitoka Mwanza kwenda Dar es Salaam kupata hitilafu ya injini. Ndege hiyo,...

View Article


Ahadi ya Rais Kikwete Yatimia.....Wasanii kutoka Marekani wawasili nchini...

Terrence Ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa wasanii wa Tanzania kuwa atachangia kuinua kiwango cha ujuzi na weledi wao kwa kuwaandalia mafunzo...

View Article

Kanisa lawataka wachungaji wajiuzulu CHADEMA

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini ambaye pia ni Mchungaji wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT), Joseph Matare amejiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kanisa lake kuwataka...

View Article

Ujerumani ndo Mabingwa wa kombe la Dunia 2014.....Kipa wa Ujerumani atwaa...

Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia baada ya kutwaa Kombe la Dunia kwa mara ya nne nchini Brazil usiku huu. Kocha wa Ujerumani, Joachim Low akinyanyua juu Kombe la Dunia. Mario Gotze akiifungia...

View Article


Mdomo Wamponza Kafulila.....IPTL Yamdai fidia ya sh. Bilioni 310

Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe...

View Article

Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 14 July 2014

              Magazeti  ya  leo  Jumatatu  ya  tarehe  14  July  2014

View Article

Aunt Ezekiel: Sina Gundu na Wanaume

Baada ya kudaiwa kuwa na gundu kufuatia kila mwanaume anayeishi naye kuandamwa na majanga, staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel Grayson ameibuka na kukanusha madai hayo akisema hayana ukweli. Baada ya...

View Article


Warioba kaa pembeni -Tendwa

Aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amemtaka aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuacha kuitetea Rasimu ya Katiba kwa maelezo kuwa kazi yake ilikuwa...

View Article


Mastaa wa Bongo Muvi watwangana wakigombea penzi la Steve Nyerere

Mastaa wawili wa kike Bongo Muvi, Vivian Minja na Najma wanadaiwa kutoleana maneno machafu kisha kuzichapa kavukavu chanzo kikidaiwa eti walikuwa wakimgombea Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movies,...

View Article

January Makamba: Sitarudi nyuma kuhusu urais 2015 na wanaonibeza hawawezi...

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema hatakatishwa tamaa na hatorudi nyuma katika harakati zake anazoziita za fikra mpya na mawazo mapya za kushika dola na kwamba...

View Article

Hali ya mtoto Devota aliyefungiwa Uvunguni kwa miaka Sita yabadilika na...

Mtoto Devota Malole aliyekuwa amelazwa katika hospitali ya wilaya ya Kilosa kufuatia mama yake kumtesa kwa kumfungia ndani na kumlaza chini kwa muda wa miaka mitano amehamishiwa katika hospitali ya...

View Article

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unatatizo la kufika kileleni...

Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha. Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari...

View Article


Shilole akataliwa Ukweni kisa Umri mkubwa

Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa...

View Article

Magazeti ya leo Jumanne ya tarehe 15 July 2014

                      Magazeti  ya  leo  Jumanne  ya  tarehe  15  July  2014

View Article


Watu wawili wahofiwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi mkoani...

WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa matofali. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu...

View Article

Vigogo wa Juu Mamlaka ya Bandari wapandishwa kizimbani Dar

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya  Bandari (TPA) na Msaidizi wake, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya matumizi mabaya ya madaraka....

View Article


Mtuhumiwa wa Tindikali Zanzibar Atiwa mbaroni

Makachero wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kumtia mbaroni mtu mmoja, Alawi Mohammed Silima (25), mkazi wa Fuoni Melinne, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.   Mtu huyo anatuhumiwa kuhusika na...

View Article

Hausigeli wa miaka 8 Ajeruhiwa vibaya na bosi wake

Mtoto Miseto (8), anayedaiwa alikuwa akifanya kazi za ndani kwa mama mmoja aliyejulikana kwa jina la  Mary Jerald mkazi wa Kijiji cha Busurwa, Wilaya ya Rorya, mkoani Mara ameokotwa ufukweni mwa Ziwa...

View Article

Nafasi za Mafunzo na Kazi toka RafikiElimu Foundation ( Mafunzo ya usimamizi...

Taasisi  ya RAFIKIELIMU FOUNDATION  kupitia  MRADI  WA WANAWAKE SALAMA TANZANIA, inatangaza  nafasi za MAFUNZO YA  USIMAMIZI NA UENDESHAJI  WA TAASISI ZISIZO KUWA ZA KISERIKALI   yaani NGO MANAGEMENT...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>