Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ujerumani ndo Mabingwa wa kombe la Dunia 2014.....Kipa wa Ujerumani atwaa tuzo ya kipa bora, Messi atwaa tuzo ya mchezaji bora

$
0
0
Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia baada ya kutwaa Kombe la Dunia kwa mara ya nne nchini Brazil usiku huu. Kocha wa Ujerumani, Joachim Low akinyanyua juu Kombe la Dunia. Mario Gotze akiifungia Ujerumani bao pekee na la ushindi dhidi ya Argentina usiku huu. Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia na Gotze. Aliyekuwa mchezaji wa Barcelona, Carles Puyol (kushoto) na modo wa Brazili

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>