Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Warioba kaa pembeni -Tendwa

$
0
0
Aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amemtaka aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuacha kuitetea Rasimu ya Katiba kwa maelezo kuwa kazi yake ilikuwa ni kuiandaa na siyo kushawishi kila mtu akubaliane nayo.    Amesema kazi sasa imebaki kwa Bunge Maalumu la Katiba, ambalo linaijadili rasimu hiyo na kutoa mapendekezo yatakayofaa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles