Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu wawili wahofiwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi mkoani Kilimanjaro

$
0
0
WATU zaidi ya wawili wanadhaniwa kupoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi wakati wakiendelea na shughuli za uchimbaji wa miamba kwa ajili ya uchongaji wa matofali. Tayari mpaka sasa mwili wa mtu mmoja aliyefahamika kwa jina Bless Adrian, mkazi wa kijiji cha Nganjoni wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro umepatikana.   Juhudi za kutafuta miili mingine inaendelea licha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>