Makachero wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kumtia mbaroni mtu mmoja, Alawi Mohammed Silima (25), mkazi wa Fuoni Melinne, nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Mtu huyo anatuhumiwa kuhusika na tukio la kummwagia tindikali Sheha wa Shehia ya Tomondo mjini Zanzibar, Mohammed Omar Saidi Kidevu. Anatuhumiwa kuwa baada ya kutenda kosa hilo alitoweka.
Hayo yamesemwa na Ofisa Habari Mkuu
↧