Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Profesa Mwandosya atangaza nia yake ya Kugombea Urais 2015.....Asema itakuwa ni heshima kubwa kwake endapo CCM itamteua kuwania nafasi hiyo

$
0
0
MBUNGE wa Rungwe Mashariki na Waziri asiyekuwa na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, amefunguka kwa mara ya kwanza na kuelezea mwelekeo wake wa kisiasa na hasa nia yake ya kuwania urais mwaka 2015.   Mwandosya, ambaye alikuwa akizungumza katika mahojiano maalumu na Mtanzania, tayari ameeleza wazi kuwa hatatetea tena kiti chake cha ubunge mwaka 2015.   Akizungumzia suala la urais

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>