Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi Idara ya Habari Assah Mwambene atoa ufafanuzi juu ya tuzo ya...

Mkurugenzi  wa Idara  ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene amesema Jaji Joseph Warioba alitunukiwa tuzo ya muungano iliyotukuka  kwa kuwa alistahili kupewa kama viongozi wengine na  kuwa kitendo  hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taswira za mkutano wa UKAWA katika viwanja vya Kibanda Maiti mjini Unguja,...

Viongozi wa Wajumbe wa kundi la UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) ndani ya Bunge Malaum la Katiba, wamehutubia maelfu ya watu waliohudhuria mkutano wao katika viwanja vya Kibanda Maiti mjini Unguja,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu na Diamond wanaswa wakidendeka hadharani....

MASUPASTAA ambao ni wachumba (wanasema wenyewe), Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, walijikuta wakionesha upendo wao mbele za watu kwa kudendeka  barabarani......

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa fedha: Bajeti ya mwaka 2014/ 2015 ni sh. 19.6 Trilioni....Matumizi...

Serikali imetoa mwelekeo wa Bajeti ya mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni Sh19.6 trilioni, ikilinganishwa na Sh18.2 za Bajeti iliyopita.    Vipaumbele vya Bajeti hiyo ni kuendeleza Mpango wa Maendeleo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete kuhutubia wafanyakazi leo katika kilele cha Siku ya Wafanyakazi...

Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kuhutubia wafanyakazi katika kilele cha Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo tarehe 1 May 2014

Magazeti  ya  leo  tarehe  1 May  2014 <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gari la Mbowe lakamatwa nchini Kenya likihisiwa kuhusika na UGA*DI nchini...

GARI la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, limekamatwa na kuendelea kushikiliwa mjini Mombasa nchini Kenya, kutokana na kuwa na namba mbili.   Taarifa za  jana  kutoka Kenya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sherehe za Mei mosi jijini Mwanza:....Wafanyakazi waomba kodi ipunguzwe

Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray afunguka: "Msiniingilie maisha yangu ya Mapenzi...Mbona ninyi mnafanya...

Msanii  wa  filau, Vicent  Kigosi  "Ray"   amesema  kuwa  anashindwa  kuelewa  ni  kwa  nini  baadhi  ya  wanawake  wamekuwa  wakishabikia  mahusiano  yake  wakati  yeye  hana  habari  nao  wala...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu Michael ashambuliwa baada ya kupost mtandaoni picha ya Rihanna akiwa...

Muigizaji wa bongo movies Elizabeth ‘Lulu’ Michael ambaye huonesha wazi jinsi anavyompenda Rihanna na hata kupozi kwenye jarida la VibeTz kama Rihanna kwenye jarida la GQ, amejikuta katika wakati mgumu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Victoria Kimani akianika kifua chake kisiwani Mbudya

  Victoria Kimani aliamua kuyafaidi maji ya bahari ya Hindi kisiwani Mbudya, Dar es Salaam kwa kuyaoga bila kuvaa kitu chochote cha kusitiri mat*ti maziwa yake na kwakuwa Mungu kamjalia ‘bo***bs’ za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ray C akanusha kurudiana na Mwisho Mwampamba ‘he is happily married, am...

Rehema Charamila aka Ray C amekanusha kilichoandikwa na gazeti la Visa kuwa amerudiana na aliyewahi kuwa mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa mara mbili Mwisho Mwampamba. Wawili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Ijumaa ya tarehe 2 April 2014

                          Magazeti  ya  leo  Jumanne  ya  tarehe  2  April  2014

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kajala amcharukia Wema Sepetu......Asema hana mpango wa kumlipa zile milioni...

Zile shilingi milioni 13 alizolipa staa mkubwa wa kike Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ mahakamani ili kumnusuru Kajala Masanja kwenda gerezani, zinaendelea kusababisha fukuto na sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA waendelea na Kampeni yao Pemba

Kiongozi wa UKAWA Freeman Mbowe, akihutubia katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Gombani ya Kale, Chake Chake Pemba. Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia, akihutubia katika mkutano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awataka wabunge kuhakikisha katiba inapatikana ndani ya siku 60...

Rais Jakaya Kikwete, amesema iwapo siku 60 za nyongeza zitakwisha bila wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kufikia maridhiano na kupata Katiba mpya, hakutakuwa na nyongeza nyingine ya muda. Rais Kikwete...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii ni video nyingine toka Kenya iliyofungiwa kuchezwa kwenye TV kutokana na...

Mpaka sasa video hii imetazamwa zaidi ya mara laki moja na elfu 30 kwenye mtandao wa Youtube toka ianze kuonyeshwa April 29 2014 ikiwa ni video ya kipekee na ya kiwango kingine cha juu tofauti na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jack Wolper arudisha penzi kwa Ali Kiba

  "Hakuna  kitu  kama  hicho, hayo  ni  maneno  tu  ya  watu.Mimi  na  Ali Kiba  ni  kama  dada  na  kaka, hakuna  linaloendelea.Kifupi  ni  kwamba  huyo  Kiba  mwenyewe  sijaonana  nae  muda  mrefu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matukio katika picha Diamond Platnumz akiwasili Mtwara kwa burudani kali...

        Matukio katika picha Diamond Platnumz akiwasili Mtwara kwa burudani kali jioni ya leo. <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndoa ya Aunt Ezekiel Chali....Mume atupwa Jela, Aunt aponda raha....Yadaiwa...

Habari za mjini zinadai kuwa, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel yuko Dubai akiponda raha huku mumewe, Sunday Demonte akidaiwa kuwa jela jijini Abu Dhabi katika nchi za Falme za Kiarabu (UAE)....

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>