Mkurugenzi  wa Idara  ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene amesema
Jaji Joseph Warioba alitunukiwa tuzo ya muungano iliyotukukaÂ
kwa kuwa alistahili kupewa kama viongozi wengine na  kuwa kitendo hicho si kumkejeli kama baadhi ya
vyombo vya habari vilivyoripoti  hivi karibuni.
 Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi huyo wakati
akizungumza na waandishi wa habari kuhusu  suala hilo katika Â
↧