Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkurugenzi Idara ya Habari Assah Mwambene atoa ufafanuzi juu ya tuzo ya Muungano aliyopewa Jaji Joseph Sinde Warioba.

$
0
0
Mkurugenzi  wa Idara  ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene amesema Jaji Joseph Warioba alitunukiwa tuzo ya muungano iliyotukuka  kwa kuwa alistahili kupewa kama viongozi wengine na  kuwa kitendo  hicho si kumkejeli kama baadhi ya vyombo vya habari vilivyoripoti  hivi karibuni.  Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu  suala hilo katika  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>