Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Gari la Mbowe lakamatwa nchini Kenya likihisiwa kuhusika na UGA*DI nchini humo.....Gari hilo lilikuwa na namba mbili, STK na KUB...Polisi Kenya yamsubiri Mbowe kwa mahojiano

$
0
0
GARI la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, limekamatwa na kuendelea kushikiliwa mjini Mombasa nchini Kenya, kutokana na kuwa na namba mbili.   Taarifa za  jana  kutoka Kenya  zilieleza kuwa polisi nchini Kenya walipata taarifa za kuwepo kwa gari hilo na watu ambao walionekana kutokuwa na kazi maalumu.   Baada ya kupata taarifa hizo, Polisi hao walio katika msako wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>