Wafanyakazi wa Shirika la
Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza
Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi
mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo yalihitimishwa kwenye uwanja wa CCM
Kirumba.
Wafanyakazi wa Mkemia Mkuu wa
Serikali wakiingia uwanjani CCM Kirumba Mwanza wakati wa maadhimisho ya
Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza .
↧