Mpaka sasa video hii imetazamwa zaidi ya mara laki moja na elfu 30
kwenye mtandao wa Youtube toka ianze kuonyeshwa April 29 2014 ikiwa ni
video ya kipekee na ya kiwango kingine cha juu tofauti na ilivyozoeleka
kwa Sauti Sol.
Mtandao wa Kenya ghafla.co.ke umeripoti kwamba imefahamika video hii
imezuiwa kuchezwa kwenye TV stations mbalimbali za Kenya kwa sababu
imevunja maadili.
↧