Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete awataka wabunge kuhakikisha katiba inapatikana ndani ya siku 60 alizowaongeza....Asisitiza ikishindakana basi

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete, amesema iwapo siku 60 za nyongeza zitakwisha bila wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kufikia maridhiano na kupata Katiba mpya, hakutakuwa na nyongeza nyingine ya muda. Rais Kikwete aliyasema hayo jana wakati akihutubia maelfu ya wafanyakazi katika sikuku ya Mei Mosi ambazo Kitaifa zilifanyika kwenye Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam. Rais Kikwete alisema hadi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>