Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri wa fedha: Bajeti ya mwaka 2014/ 2015 ni sh. 19.6 Trilioni....Matumizi kuzingatia mfumo wa matokeo makubwa sasa, kipaumbele ni kilimo, Elimu, Maji,Nishati na miundombinu

$
0
0
Serikali imetoa mwelekeo wa Bajeti ya mwaka wa fedha wa 2014/15 kuwa ni Sh19.6 trilioni, ikilinganishwa na Sh18.2 za Bajeti iliyopita.    Vipaumbele vya Bajeti hiyo ni kuendeleza Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano ulioanza mwaka 2011 na Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambao unajumuisha maeneo sita ya kitaifa ya kilimo,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>