Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAUME ALIYEKUWA AKIJIFANYA NI " JOKATE MWEGELO" HUKO FACEBOOK AKAMATWA NA...

 Hapa ni wakati Jokate alipoamua kukaa na Mpeka kistaarabu kuongea nae kabla ya hatua za kisheria  Message  alizotumia watu kwenye facebook na msg za simu za mkononi.   Aliyefanikisha huyu jamaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOMOA BOMOA YA POMBE MAGUFULI YAANZA.....JENGO LA BUSINESS PARK ( GREEN ACRES...

 Baada Waziri wa Ujenzi, Pombe Magufuli kutoa maagizo kwa wenye majengo yaliyo pembezoni mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi, kubomoa wenyewe majengo yao ili kupisha upanuzi wa barabara hiyo, kuonekana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FBI WAINGIA ARUSHA KUCHUNGUZA BOMU LA SOWETO

  Askari wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI), tayari wapo Arusha kushirikiana na polisi ili kuchunguza tukio la mlipuko wa bomu la kutupa kwa mkono kwenye mkutano wa kampeni za Chadema. Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"WIMBO WA MAJANGA UMENIPA DILI LA KUREKODI MOVIE AFRIKA KUSINI "– SNURA.

 MWIGIZAJI wa kike na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi amedai kuwa muziki ulimpa dili ya kwenda kurekodi filamu Afrika ya Kusini... Anasema kuwa dili hilo  amelipata kutokana na  kufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SH. 500/- SASA ITAKUWA SARAFU BADALA YA NOTI ILI KUIFANYA ISICHAKAE HARAKA

KUTOKANA na kuchakaa haraka kwa noti ya shilingi 500 na kiwango chake kudumu kwenye mzunguko kwa miezi sita tu, Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imesema inatarajia kubadili noti hiyo na kuwa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MAGUFULI ATAMANI KUWA RAIS WA TANZANIA......ANADAI KWAMBA YUPO TAYARI...

 Katika hali inayoonyesha kuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, anautamani urais, amesema anaweza kutangaza nia hiyo kama atakidhi masharti yatakayowekwa kwenye Katiba mpya. Alisema iwapo Katiba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"MWANAUME ASIYE NA PESA HAPASWI KUWA NA WIVU KWA MPENZI WAKE"....JINI KABULA

 MSANII wa filamu za Bongo, Miriam Jolwa ‘Kabula’ ameonesha kukerwa na wanaume ambao hawana hela   lakini wamekuwa wakijifanya wanajua kupenda sana huku wakiwa na wivu kupitiliza. Akiongea na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA CHAFU ZA MISS UNIZIK ZASAMBAA MITANDAONI....

<!-- adsense --> Vituko  vya  mapenzi  ya  Tz kumbe  hata  nchi  za  nje  vipo..!! Huyu  ni  denti  wa  chuo  kikuu  cha  UNIZIK  kilichoko Nigeria  ambaye  pia  ni miss  UNIZIK 2013/2014.......

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA LAANA ZA KUNDI LA BAIKOKO - TANGA

Hizi  ni  baadhi  ya  picha  za  kundi  la  wacheza  uchi / nusu  uchi  maarufu  kwa  jina  la  Baikoko  lenye  maskani  yake Tanga....         <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AVIONYA VYOMBO VYA DOLA...!

WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amevitaka vyombo vya dola na wafanyabiashara wakubwa nchini, kujenga mahusiano bora kati yao na wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga) ili kuondoa tabaka la matajiri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHUNGAJI " MASANJA MKANDAMIZAJI" APATA NAFASI YA KUHUBIRI NENO LA MUNGU...

Mtumishi wa Mungu Emmanuel Mgaya (Masanja Mkandamizaji) ambaye yuko nchini Marekani kwa ziara maalum, atahudumu kwa waumini wa jiji la Washington DC na vitongoji vyake siku ya kesho (Jumapili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NELSON MANDELA YUKO KATIKA HALI YA "USINGIZI WA KUDUMU"....NYARAKA ZAFICHUKA

Nelson Mandela ameendelea kuwekwa hai kwa msaada wa mashine za kumsaidia kupumua na  'anakaribia kifo,' nyaraka za mahakama zimefichua. Afya ya rais huyo wa zamani ni 'yenye hatari kubwa,' kwa mujibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZAZI WAUA MTOTO WAKIGOMBANIA CD YA MSANII "DIAMOND"

Vilio  na  simanzi  vilitanda Jumatano iliyopita Mwananyamala Kisiwani, jijini Dar kufuatia mtoto wa mwaka mmoja, Rahim Rajab kufariki dunia kwa kuangukiwa na watu watatu, akiwemo baba yake mzazi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI AMJIBU TID BAADA YA KUMPONDA NA KUDAI ATAIMBA WIMBO GANI BIG BROTHER??

Rapper Webiro Wassira aka Wakazi amefunguka  kuwa kitendo cha TID kumdiss kuwa haoni wimbo atakoutumbuiza kesho kwenye eviction show ya Big Brother Africa The Chase kinaonesha kuwa staa huyo wa ‘Kiuno’...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO MPYA YA BOB JUNIOR "KIMBIJI" ALIYOWAHI TOA VIPANDE AKISULUBIWA KARIAKOO

Hii ni video mpya ya Bob Junior Sharobaro president inayokwenda kwa jina la Kimbiji.  Bob Junior aliwahi kutoa baadhi ya picha zikionyesha upigaji picha wa video hiyo, hatimaye video imetoka na baadhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANACHUO WA MWAKA WA KWANZA ALAANI KITENDO CHA KUPIGWA "EXILE" NA MADENTI...

Vitendo  vya  wanafunzi  kupigana  exile( kumpisha room ili angonoke na mpenzi wake)   vimekuwa  vikishika  kasi  ya  ajabu  katika  hosteli  za  wanafunzi  wa  vyuo  vikuu  mbalimbali ambao  kwao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA SUMMRY LAUA WATU 9 NA KUJERUHI 53

Basi la kampuni ya Sumry limetumbukia mtoni na kuua watu tisa na kujeruhi wengine hamsini na tatu. Ajali hiyo imetokea katika kijiji cha Sitalike wilaya ya Mlele mkoani Katavi Tukio hilo la kusikitisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASANJA MKANDAMIZAJI AFICHUA UBAGUZI WA BANK YA CRDB KATIKA UTOAJI WA AJIRA

Katika  upekuzi  wangu  , niliamua  kumtembelea  masanja  mkandamizaji  kuona  alichokandamiza  jioni  hii... Hii  ni  post  yake  facebook  iliyofichua  UBAGUZI  wa  bank  ya  CRDB  katika  utoaji  wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JANUARY MAKAMBA AWATAKA WANANCHI WAWALAU WABUNGE WAO KUHUSU KODI YA 1000 KWA...

Haya  ni  majibu ya  Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mh. January Makamba akijibu maswali katika mtandao wa Twitter kuhusu kodi mpya ya TZS 1000 kwa mwezi kwa kila line ya simu....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMAARUFU WA WASANII WENGI WA KIKE UNATOKANA NA SKENDO ZA PICHA CHAFU

NCHI za wenzetu staa kupiga picha za utupu si kitu kigeni lakini Tanzania sheria na maadili ya Mtanzania hayaruhusu kufanya hivyo. Pamoja  na sheria  kutoruhusu, wasanii  wetu  hasa  wa  kike  wamekuwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>