KUTOKANA na kuchakaa haraka kwa noti ya shilingi 500 na kiwango chake
kudumu kwenye mzunguko kwa miezi sita tu, Benki Kuu ya Tanzania (BoT),
imesema inatarajia kubadili noti hiyo na kuwa ya sarafu.Akizungumza
na gazeti la Tanzania Daima juzi kwenye viwanja vya maonesho ya
kimataifa ya biashara, jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Fedha,
Abdul Dollah, alisema mabadiliko hayo
↧