Katika hali inayoonyesha kuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli,
anautamani urais, amesema anaweza kutangaza nia hiyo kama atakidhi
masharti yatakayowekwa kwenye Katiba mpya.
Alisema iwapo Katiba ijayo itakuja na sifa ambazo atakidhi vigezo kuna
uwezekano mkubwa wa kuwania nafasi hiyo na kwamba iwapo atapungukiwa
sifa zinazohitajika kwa mujibu wa Katiba hataingia kwenye kinyang’anyiro
↧