MSANII wa filamu za Bongo, Miriam Jolwa ‘Kabula’ ameonesha kukerwa na
wanaume ambao hawana hela lakini wamekuwa wakijifanya
wanajua kupenda sana huku wakiwa na wivu kupitiliza.
Akiongea na mwandishi wetu , Kabula alisema anajua kupenda
ni suala la msingi lakini anawashangaa wale wanaokuwa na wivu wa
kupindukia na wakati mwingine kutoa vipigo kwa wapenzi wao wakati wao ni
wanaume Image may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.
