MSANII wa filamu za Bongo, Miriam Jolwa ‘Kabula’ ameonesha kukerwa na
wanaume ambao hawana hela lakini wamekuwa wakijifanya
wanajua kupenda sana huku wakiwa na wivu kupitiliza.
Akiongea na mwandishi wetu , Kabula alisema anajua kupenda
ni suala la msingi lakini anawashangaa wale wanaokuwa na wivu wa
kupindukia na wakati mwingine kutoa vipigo kwa wapenzi wao wakati wao ni
wanaume
↧