Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU NI UJUMBE WA RAY C AKIWASHUKURU MASHABIKI WAKE KWA KUMUOMBEA MPAKA...

Mwanadada Ray C leo hii kupitia ukurasa wake wa instagram ameachia ujumbe huu kwaajili ya mashabiki zake na kuwashukuru kwa support yao.<!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO WA MIEZI MINNE ATUPWA AKIWA HAI MAENEO YA BAMAGA

Huyu ndiye malaika wa Mungu aliyetelekezwa maeneo ya bamaga nje ya chuo cha ustawi wa jamii karibu na TBC hapa akiwa amebebwa na mmoja wa mfanyakazi wa ITV baada ya wasamaria wema kumleta ITV......

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI KATIKA MKUTANO WA GEORGE BUSH NA WAKE WA MARAIS

Rais Jakaya Kikwete akiwa na Mke wake Mama Salma Kikwete wakizungumza na Rais Mstaafu wa Marekani Mheshimiwa George Bush wakati wa kikao cha wake wa Marais wa Afrika kinachofanyika katika hoteli ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OBAMA AWAOMBA RADHI WANANCHI WALIOKOSA KUMWONA BARABARANI...

  Kana kwamba alisikia kilio cha wakazi wa Dar es Salaam waliokuwa na shauku ya kumwona lakini ikashindikana, Rais Barack Obama wa Marekani amewaomba radhi kwa hali hiyo. Akizungumza juzi wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NAWACHUKIA SANA WASANII WA BONGO MOVIE MAANA NI WEZI WA WAUME ZA WATU"...AMANDA

   MSANII wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amesema anawachukia sana wasanii wa kike wa Bongo Movie kutokana na tabia zao za kuchukuliana mabwana. Amanda alisema wasanii wengi wa filamu wana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"NIMETEMBEA KWA WAGANGA WA KIENYEJI NA KUGUNDUA KUWA MTU ALIYENIROGA NI...

  Makubwa  yameibuka baada ya msanii  Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, kufungua kinywa na kusema kuwa ugonjwa wake si bure bali amepigwa kipapai. Akizungumza na mwandishi  wetu,Steve alisema kuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUKIO LA KUBAKWA KWA MSANII MAARUFU WA BONGO MOVIE....

  Kuna habari  mbaya  ambazo  zilianza  kusambaa  mtandaoni  jana.Habari  hizo  zinazomhusu  msanii  maarufu  wa  bongo  movie  ambaye  anadaiwa  kubakwa  (Mtungo ) na  wanaume  kadhaa. Habari  hizo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"KAMA BABA YAKO ANGEKUWA NI SHOGA, WEWE BARACK OBAMA USINGEZALIWA"...HII NI...

Akiwa  nchini  Senegal,Rais  Obama  alinukuliwa  na  vyombo  vya  habari  akiyasisitiza  mataifa  ya  afrika  kuhusu  kutambua  uwepo  wa  MASHOGA  na  kwamba  haki  zao  za  msingi  ni  lazima...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMA WA MIAKA 52 AKAMATWA KWENYE CHUMBA CHA MTIHANI AKIMFANYIA MTIHANI BINTI...

Mwanamke mmoja mfaransa (52) amejikuta mikononi mwa polisi wa jiji la Paris katikati ya mwezi june, baada ya kukamatwa kwenye chumba cha mtihani akimfanyia mtihani wa Kiingereza mwanae mwenye umri wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"SUGU AMESAFISHWA KWA KUMTUKANA WAZIRI MKUU. FIKIRIA TUSI HILO LINGETOKA KWA...

KILA mtu anajua kuwa sheria na haki ni vitu viwili tofauti. Usilazimishe kupata haki, kwasababu sheria imeonyesha juu ya madai yako. Kufanya hivyo ni kujipotezea muda wako unaoweza kuutumia katika kazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MACHANGUDOA WAULAANI UJIO WA OBAMA....WANADAI HAUKUWA NA PESA IKILINGANISHWA...

Katika hali ilisiyokuwa ya kawaida,  machangudoa wameulalamikia ujio wa Rais Barack Obama kwa kile kinachodaiwa  kuwa  haukuwa na faida yoyote kwa kukosa dili za pesa. " Tumesikitishwa sana na ujio wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"GEREZANI KUMENIFANYA NIMJUE MUNGU VIZURI SANA"....HII NI INTERVIEW YA LULU...

<!-- adsense --> Kwa mara ya kwanza muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael aka Lulu jana alifanya interview ya kwanza tangu atoke gerezani January mwaka huu.  Lulu aliye na muonekano wa ‘udada’...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YAWAACHIA HURU VIONGOZI WA CHADEMA BAADA YA MWIGULU NCHEMBA...

Mwita  Waitara Mahakama ya Hakimu Mkazi Mjini Singida  jana imetupilia mbali kesi iliyokuwa inawakabali viongozi wawili wa CHADEMA Ndugu Mwita Waitara ambaye ni afisa sera na utafiti makao makuu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AJALI ZAENDELEA KUTUMALIZA WATANZANIA.....TUNAOMBA RADHI KWA PICHA

 Ajali hii ilitokea jana jioni  tarehe 02/07/2013, baada ya gari dogo lililokuwa linatokea maeneo ya Ubungo kwenda uelekeo wa Buguruni kumgonga mwenda kwa miguu aliyekuwa anavuka barabara katika maeneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANYABIASHARA AWAGONGA NA GARI WATU 6.....KISA NI WIVU WA MAPENZI

  Watu sita wamejeruhiwa vibaya ikiwemo kuvunjika baadhi ya sehemu mbalimbali za mwili huku mmoja wao akiwa amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya taifa ya Muhimbili baada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA MISRI LAMUONDOA MADARAKANI RAISI MOHAMMED MORSI

   jeshi nchini Misri limemuondoa madarakani Rais aliyechaguliwa kwa njia ya kidemokrasia nchini humo Mohamed Morsi na imemteuwa kiongozi wa muda wa nchi baada ya maandamano makubwa yanayoipinga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHILOLE ATINGA DUKANI HUKO MAREKANI AKIWA NA TAULO TU...

  MSANII wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ametoa kali ya mwaka baada ya kunaswa akiingia ‘supermarket’ akiwa ametinga taulo. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika mji wa Maryland...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANASHERIA WA ETHIOPIA WAAPA KUMSHITAKI BETTY KWA KUFANYA NGONO NDANI YA...

Wakati  baadhi ya  watanzania  wakifurahia  madudu  ya  washiriki  wetu  ndani  ya  jumba  la  Big Brother, wenzetu  wa  Ethiopia  wameanza  kuchukua  hatua  stahiki  dhidi  ya  mshiriki  wao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWOYA AJICHORA MAKANYAGIO YA MWANAE MGOGONI

Staa  wa muvi za Bongo, Irene Pancras Uwoya ameonesha upendo wake kwa mwanaye Krrish Ndikumana kwa kujichora ‘tatuu’ mgongoni yenye nyayo (makanyagio) ya mtoto huyo na kuzisindikiza na jina lake kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA MARA YA KWANZA RUNINGA NCHINI UINGEREZA ITARUSHA ADHANA YA ASUBUHI

Ukiwa unakaribia mwezi mtukufu wa Ramadhani, kwa mara ya kwanza kabisa chaneli ya 4 ya televisheni ya nchini Uingereza itakuwa ikirusha hewani moja kwa moja adhana ya sala ya asubuhi.Justine Bower...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>