Makubwa yameibuka baada ya msanii Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, kufungua kinywa
na kusema kuwa ugonjwa wake si bure bali amepigwa kipapai.
Akizungumza
na mwandishi wetu,Steve alisema kuwa kufuatia
kusumbuliwa na ugonjwa wa ajabu kwa kipindi kirefu sasa na madaktari
kushindwa kuelewa kila walipompima, staa huyo anaamini kuwa amerogwa na
msanii mwenzake.
“Nimetembea kwa wataalamu wa
↧