Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE VIDEO: MKUTANO KATI YA OBAMA NA WAANDISHI WA HABARI IKULU

Mkutano kati ya Rais wa Marekani Barack Obama na waandishi wa habari unaofanyika hivi sasa ndani ya Ikulu jijini Dar es Salaam Video streaming by Ustream <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MMILIKI WA FACEBOOK NA WAFANYAKAZI WAKE WASHEREHEKEA KUPITISHWA KWA SHERIA YA...

Mmiliki wa mtandao wa kijamii Facebook CEO Mark Zuckerberg amejiunga na wafanyakazi wa kampuni yake waliozidi 700 katika matembezi ya kusherekea maamuzi ya mahakama kuhusu haki za ndoa ya jinsia moja....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRENI YA MWAKYEMBE ILIPATA AJALI ASUBUHI YA LEO.....HUDUMA YA TRENI KESHO HAIPO

  Leo mnamo saa 11:30 asubuhi vichwa viwili vya treni ya huduma la jiji la Dar es Salaam vilipata ajali ya kugongwa na roli la mizigo aina ya Fusso katika makutano ya reli na barabara ya Kawawa jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA RAIS OBAMA ALIPOTUA KATIKA ARDHI YA TANZANIA

 Rais Baraka Obama akicheza ngoma alipokua akipita kwenye moja ya vikundi vya ngoma za asili vilivyokua vikitumbuiza kwa ajli ya ujio wake mara tu aliposhuka kutoka kwenye ndege ya Airforce One...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO NZIMA YA OBAMA ALIPOTUA NCHINI TANZANIA.....

Hii  ni  video  kamili  ya  Rais  Obama  akitua  katika  ardhi  ya  Tanzania  na  kupokelewa  na  mwenyeji  wake,Rais  Jakaya  Kikwete <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAUMBULIWA....GAZETI MAARUFU LA MAREKANI LAANIKA UKATILI UNAOTENDEKA...

<!-- adsense -->  Tanzania imekosolewa  na  gazeti  maarufu  la  Marekani  wakati Rais Obama akipokewa kwa nderemo na  vifijo. Gazeti hilo  maarufu nchini Marekani la The New York Times,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GEORGE BUSH NA OBAMA WATAKUTANA ANA KWA ANA KATIKA ARDHI YA TANZANIA LEO

Rais wa Marekani, Barack Obama na mtangulizi wake, George W. Bush, leo wanakutana ana kwa ana kwenye ardhi ya Tanzania watakapoweka mashada kwenye Ubalozi wa zamani wa Marekani uliolipuliwa mwaka 1998....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAREKANI KUFUNGUA UKURASA MPYA KATIKA UWEKEZAJI BARANI AFRIKA

Serikali ya Marekani imeahidi kufungua ukurasa mpya kwa Nchi za Afrika Mashariki kwa kuongeza uwekezaji katika sekta mbalimbali ili kuinua uchumi wan chi hizo. Kauli hiyo ilitolewa jana  mjini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFALME MSWATI WA SWAZILAND AAONDOKA NCHINI NA AMEWATAKA WATANZANIA WABADILIKE

Mfalme Mswati wa Swaziland akisindikizwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipoondoka kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam kurejea nyumbani baada ya kufungua...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA YAWATIA MBARONI WAPENZI WAWILI WALIOAMUA KUTALII WAKIWA UCHI

Njemba moja, Stephen Gough aliyewahi kuwa mwanajeshi amekamatwa na polisi katika Jiji la Portsmouth, Uingereza baada  ya kukutwa na mpenzi wake wakidunda kutalii mitaani wakiwa uchi wa nyama. Mwanamke...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA WANANCHI TOKA UBUNGO WAKISUBIRI MSAFARA WA RAIS OBAMA

<!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NANDO WA TANZANIA APENDEKEZWA KUTOKA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER...KURA...

Mchezo unazidi kuwa mgumu kadri siku zinavyozidi kwenda sababu idadi ya wanaopaswa kuendelea na mchezo ndivyo inavyohitajika kuwa ndogo mpaka siku ya 91 atakapobaki mtu mmoja wa kukabidhiwa $300,000...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAZISHI YA MANDELA YAGOMBANIWA NA VYOMBO VYA HABARI PINDI ATAKAPOFARIKI

Mashirika makubwa ya habari ulimwenguni, yapo kwenye vita nzito ya kugombea hakimiliki ya mazishi ya Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Rolinhlala Mandela ‘Madiba’ Shirika la Habari la Afrika Kusini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA HERI BARACK ABAMA....KARIBU TENA NA SAFARI NJEMA

Rais Barack Obama wa Marekani ameondoka nchini mchana huu kurudi nchini Marekani,baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili hapa nchini iliyoanza jana.... Rais Obama na mwenyezi wake Rais Jakaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HAYA NDO MAMILIONI YA PESA ALIYOINGIZA DIAMOND KWENYE SHOW ZA MWEZI ULIOPITA...

  Staa wa Kesho, Diamond ameendelea kupiga hela kwa show nyingi zinazomfuata kila kukicha. Wingi wa show hizi unazidi kumfanya kuwa miongoni mwa wasanii wachache wa Tanzania wenye pesa nyingi zaidi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA ZA GEORGE BUSH ALIPOKUTANA NA RAIS OBAMA TANZANIA KABLA HAJAONDOKA

 Rais Obama pamoja na Bush walikutana leo Asubuhi katika Ubalozi wa Marekani uliopo jijini Dar es Salaam na kufanya tendo la kutoa heshima zao kwa Walipoteza Maisha pamoja na wale wote walioathirika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GEORGE BUSH AMESHAANZA KAZI YAKE ILIYOMLETA... ...MKUTANO WA WAKE WA MARAIS...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe George W. Bush na Mkewe Laura na Mama Salma Kikwete wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wake wa marais wa Afrika Mashariki leo July 2, 2013...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MCHUNGAJI WA KANISA LA EAGT JIJINI MBEYA AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 30 NA...

MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God of Tanzania(EAGT) la Iwambi Jijini Mbeya Daniel Mwasumbi amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na viboko 12 baada ya kukutwa na makosa mawili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FEZA KESSY AENDEKEZA TABIA YA KUPIGWA DENDA NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER

Mshiriki  wa  Botswana, Oneal   ameendeleea  kuyafaidi  mate  ya  dada  yetu   ambapo  wakati  huu  jamaa  huyo aliamua kupiga magoti wakati akimwaga "sera za nguvu"  kwa Feza na kumwambia kuwa maisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUHUMIWA WA MAUAJI YA MWANGOSI WAACHIWA HURU

Na Gustav Chahe, Mufindi( Kamanda wa matukio) MAHAKAMA ya Wilaya ya Mufindi imetupilia mbali mashtaka  yaliyokuwa yakiwakabili Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Hamad...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>