Na Gustav Chahe, Mufindi( Kamanda wa matukio)
MAHAKAMA
ya Wilaya ya Mufindi imetupilia mbali mashtaka yaliyokuwa
yakiwakabili Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema) Hamad Yusuph na wenzake 42.
Kiongozi
huyo pamoja na wenzake walikuwa wakikabiliwa na makosa matatu likiwemo
la kufanya mkutano bila kibali pamoja na kuharibu mali ambazo ni kofia
za
↧