Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

WATUHUMIWA WA MAUAJI YA MWANGOSI WAACHIWA HURU

$
0
0
Na Gustav Chahe, Mufindi( Kamanda wa matukio) MAHAKAMA ya Wilaya ya Mufindi imetupilia mbali mashtaka  yaliyokuwa yakiwakabili Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Hamad Yusuph na wenzake 42. Kiongozi huyo pamoja na wenzake walikuwa wakikabiliwa na makosa matatu likiwemo la kufanya mkutano bila kibali pamoja na kuharibu mali ambazo ni kofia za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>