Mfalme
Mswati wa Swaziland akisindikizwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati
alipoondoka kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini
Dar es salaam kurejea nyumbani baada ya kufungua maonyesho ya Biashara
ya Kimataifa kwenye uwanja wa Mwalimu Nyerere Julai 1,2013.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na mfalme Mswati wa Swaziland ambaye
aliondoka nchini baada ya
↧