Vilio na simanzi vilitanda Jumatano iliyopita Mwananyamala
Kisiwani, jijini Dar kufuatia mtoto wa mwaka mmoja, Rahim Rajab kufariki
dunia kwa kuangukiwa na watu watatu, akiwemo baba yake mzazi, Rajab
Said..
Tukio la watu hao
kumwangukia mtoto huyo lilitokea Jumatatu iliyopita na lilisababishwa na
ugomvi mkubwa wa CD yenye nyimbo za mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu
Abdul ‘
↧