Nelson Mandela ameendelea kuwekwa
hai kwa msaada wa mashine za kumsaidia kupumua na
'anakaribia kifo,' nyaraka za mahakama zimefichua.
Afya
ya rais huyo wa zamani ni 'yenye hatari kubwa,' kwa mujibu wa nyaraka
zilizowasilishwa mahakamani kwenye kesi ambayo imepelekea mabaki ya
miili ya watoto wake watatu kuzikwa upya Alhamisi kwenye makaburi yao ya
awali.
Nyaraka za mahakama za Juni
↧