Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Tamko la Kanisa Katoliki kuhusu Wapenzi wenye mahusiano ya jinsia moja

Ripoti kutoka Vatican inasema ’Kanisa inabidi iwaruhusu na kuwakaribisha wapenzi ambao wapo kwenye mahusiano ya jinsia moja’. Akizungumza na waandishi wa habari, katika mkutano uliofanyika Oct 13...

View Article


Kumbukumbu ya Miaka 15 tangu kifo cha Mwalimu Nyerere

Watanzania leo tunaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa muasisi na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.   Mwalimu Nyerere alifariki dunia Oktoba 14, 1999 akiwa...

View Article


Big Brother Africa: Video Ya Mshiriki wa kike wa Tanzania ( Laveda) Akioga...

Hii  ni  video  ya  Mshiriki  wa  Tanzania ( Laved) akiwa  na  washiriki  wenzake  wakioga  bafuni  ndani  ya  jumba  la  big  brother Africa. Laveda  ni  miongoni  mwa  washiriki  nane  walioko...

View Article

Rais Kikwete augusia UJANA Urais 2015....." Katiba hairuhusu kijana chini ya...

Wakati mbio za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 zikianza kushika kasi nchini, Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana kumchagua mtu anayefanana na kijana kurithi nafasi yake.    Kauli hiyo ya Rais...

View Article

Watakaoshindwa kutekeleza agizo la JK wapewe tiketi ya kwaheri

Zimesalia siku chache kabla ya kuingia mwezi mwingine wa Novemba. Ni mwezi mchungu kwa watendaji wa wilaya kupitia halmashauri mbalimbali waliopewa hadi mwezi huo kuhakikisha wanajenga maabara za...

View Article


Rose Ndauka: Sitaki Kuwa na mwanaume tena

Siku chache baada ya uchumba wake kuvunjika, msanii wa filamu Bongo, Rose Ndauka amefunguka na kusema kuwa kwa sasa haitaji tena mwanaume kwani anajikita zaidi katika kufanya kazi.     Akizungumza na...

View Article

Aunt Ezekiel naye Azungumzia Sakata la kutoka kimapenzi na Waziri wa...

Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel, amesema hakuna ukweli wowote wa yeye kutanua na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu nchini Marekani, kwani alikutana naye ukumbini, akiwa amealikwa na...

View Article

Chadema wapinga mchakato wa upigaji kura ya maoni bila Daftari la Kudumu la...

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kitapinga kwa nguvu zote mchakato wa upigaji kura ya maoni kuamua kuikubali au kuikataa katiba inayopendekezwa, kuendeshwa bila Daftari la Kudumu...

View Article


Ndugu wadaiwa kuua baba yao wakigombea mahari

POLISI mkoani Katavi inawashikilia ndugu wawili wakituhumiwa kumuua baba yao mzazi, Sado Shija (45) kwa kumcharanga kwa mapanga, wakigombea mahari iliyotolewa kwa dada yao alipokuwa akiolewa....

View Article


CCM Yaanza Vikao Vizito mjini Dodoma

SIKU chache baada ya kumalizika kwa Bunge Maalumu la Katiba, macho na masikio ya wakazi wa mkoani hapa yanatarajiwa kuhamia katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

View Article

Big Brother Africa: Mshiriki wa Kike wa Botswana AJILEGEZA Kwa jembe letu la...

Siku washiriki wa BBA Hotshots wanatambulishwa, mwakilishi wa Tanzania, Idris Sultan alimwambia mtangazaji IK kuwa cheche zake zipo kwenye masuala ya wanawake. Huenda sasa shughuli imeanza. Baada  ya...

View Article

Waliokufa Lori la Petroli wafikia Watano.....Polisi Aliyejaribu kuzuia...

Idadi ya watu waliokufa kutokana na ajali ya moto wa lori lililopinduka na kisha kulipuka baada ya watu kulivamia kwa lengo la kujipatia mafuta, imeongezeka na kufikia watano kutoka vitatu vya awali....

View Article

Polisi yazungumzia Wimbi la Utekaji watoto Dar

Wakati hofu juu ya usalama wa watoto katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ikizidi kutanda miongoni mwa wazazi na walezi, Polisi imekanusha kuwapo kwa matukio ya utekaji nyara watoto...

View Article


Kombani Anusuru Ajira za DC, DEC Maabara za "Kikwete"

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani ametoa msaada muhimu wa Sh milioni 40 na bati 300 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vya maabara katika shule 12 za...

View Article

Mkuu wa Wilaya Akaangwa kwenye tume ya maadili

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe, Anna Mwalende ameanika mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma ushahidi wake dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gamba na kueleza...

View Article


Mvuvi Ajeruhiwa na Kiboko, Wawili waponea Chupuchupu

Shukurani Kando (34) ambaye ni mvuvi na mkazi kitongoji cha Kalumo kijiji cha Nambubi, Kata ya Kisorya amejeruhiwa kwa kung’atwa na kiboko na wengine wawili kunusurika wakati wakivua katika Ziwa...

View Article

Wakimbizi 162,156 wa Burundi Wapewa Uraia wa Tanzania

Rais Jakaya Kikwete ametoa hati za uraia wa Tanzania kwa wakimbizi 162,156 kutoka nchi jirani ya Burundi na ambao wameishi nchini kwa miaka 42, tangu mwaka 1972.   Alitoa hati hizo juzi mjini Tabora,...

View Article


Madai Mazito: Mchungaji atorosha mke wa mtu

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Bongo anayekuja juu kwa kasi, Janet Mrema anayedaiwa kutoroshwa na mchungaji huyo. ********** Mchungaji anayejiita nabii na mtume, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo...

View Article

Mama Kanumba akanusha kutoka kimapenzi na kijana mdogo ambaye amemzidi umri...

Mama wa marehemu, Steven Kanumba, Flora Mtegoa amekanusha vilivyo taarifa zilizozagaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na kijana mdogo ambaye amemzidi umri (serengeti boy). Mama Kanumba ambaye pia...

View Article

Wawekezaji wa gesi na mafuta wamiminika Zanzibar

 Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema taasisi mbalimbali za kimataifa zinazojishughulisha na masuala ya mafuta na gesi zimeanza kujitokeza kuomba fursa ya kuwekeza katika sekta hiyo.   Maombi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>