Ripoti kutoka Vatican inasema ’Kanisa inabidi iwaruhusu na kuwakaribisha wapenzi ambao wapo kwenye mahusiano ya jinsia moja’.
Akizungumza na waandishi wa habari, katika mkutano uliofanyika Oct 13 ambao ulifanyika Jumatatu ili kutoa ripoti hiyo, Kadinali ‘Luis Antonio Tagle wa Philippines alisema ‘Wakatoliki wanafuatilia sana maswala ya umaskini, vita na uhamiaji na kuacha swala la watu
↧