Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tukio la Moto Mbagala: Watatu wafariki dunia.....6 Wana hali mbaya Muhimbili

$
0
0
Watu watatu wamefariki na wengine sita  wakiwa katika hali mbaya Hospitali ya Muhimbili kufuatia tukio la moto uliolipuka kwenye gari la kubeba mafuta  jana maeneo ya Mbagala jijini Dar es Salaam.   Alizumgumza na mwandishi, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna Mohammed Mpinga, alisema ajali hiyo haikuleta athari yoyote baada ya gari lile kupata ajali ila athari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>