Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Kachero wa Kenya atoa ushahidi mahakamani Dar

Mkuu wa Uchunguzi wa Maandishi wa Jeshi la Polisi Kenya, John Kimani ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kuwa saini zinazodaiwa kusainiwa na Ramadhani Balenga katika hati ya...

View Article


Kanusho la JWTZ Kuhusu askari wake kuwapora wavuvi

Kanusho  la  JWTZ  Kuhusu  askari  wake  kuwapora  wavuvi

View Article


Orijino Komedi wanunua nyumba 7 za NSSF, zina thamani ya shilingi milioni 840

Kundi la uchekeshaji la Orijino Komedi limenunua na kuwakabidhi wasanii wake nyumba saba zenye thamani ya shilingi milioni 840 ambapo kila nyumba moja ilinunuliwa kwa thamani ya shilingi milioni 120....

View Article

27 Wateuliwa kuwa Makatibu wa CCM Wilaya

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa jana Oktoba 15, 2014 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. Jakaya Mrisho...

View Article

Umri wa Miss Tanzania MPYA , Siti Mtemvu umezua mjadala mkubwa miongoni mwa...

Siku chache baada ya kutwaa Taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zuberi Mtemvu ameibua mshangao wa aina yake kutokana na utata wa umri wake.   Utata huo uliibuka saa chache mara baada ya shindano...

View Article


Watoto 130 hufa kila siku kwa lishe duni

Wakati Tanzania ikisherehekea Siku ya Chakula Duniani, imeelezwa kuwa watoto 130 hufa kila siku nchini kutokana na kukosa lishe bora na matunzo sahihi.   Hayo yalibainishwa jana na Waziri wa Kilimo,...

View Article

Mama na mwanawe wachinjwa kikatili mkoani Shinyanga wakituhumiwa kuwa ni wachawi

WATU wawili, Dilu Tungu (80) na mwanawe Bunya Mihangwa (45) wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiofahamika baada ya kuvamia nyumba hiyo katika kijiji cha Ihugi kata ya Lyamidati wilaya ya...

View Article

Raia wa kigeni wafa hotelini jijini Dar

WATU sita wameaga dunia jijini Dar es Salaam wakiwemo raia wawili wa kigeni ambao wamekutwa wamekufa chumbani kwao na miili yao ikiwa haina jeraha lolote.   Kwa mujibu wa taarifa za Jeshi la Polisi,...

View Article


Jambazi aliyeua Afisa Usalama wa Taifa naye Auawa

 Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, amethibitisha kuwa Jeshi lake limefanikiwa kumkamata jambazi sugu aitwaye Paulo Thamas Milanzi maarufu Chinga (35), Mmakonde mkazi wa...

View Article


Shule yageuzwa Danguro....Wake za watu wafanya Uzinzi hadharani, Wanafunzi...

 Danguro hatari linaloendesha shughuli zake katika eneo la shule limefichuliwa baada ya kumnasa mwanamke aliyedai ni mke wa mtu akifanya uzinzi na mtu ambaye hakufahamika mara moja. Tukio hilo la aibu...

View Article

Picha 5 za Majeruhi wa Moto Mbagala Dar waliolazwa hospitali ya Muhimbili

Majeruhi 9 kati ya 15 waliofikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuungua na moto uliosababishwa na kuungua kwa lori la mafuta huko Mbagala jijini Dar es Salaam Oktoba 15 mwaka huu,...

View Article

Uchawi wa kutisha: Ndege aliyekuwa Anapaa Ageuka kuwa Mwanamke. Picha zote...

Mapema wiki hii katika kijiji cha Oshindi nchini Nigeria wananchi walishuhudia sinema ya  bure  ambapo kamera zao zilikuwa macho yao na simu zao pale ndege aliyekuwa anapaa angani ghafla alianguka...

View Article

Jamaa huyu alijikuta akipigishwa mbizi kwenye dimbwi la maji ya MACHAFU kwa...

Picha unazoona sio utani wala sinema, ni raia wa kawaida akiogelea kwenye dimbwi kwa amri ya mwanajeshi. Raia huyo alikutana na adhabu kali za mwanajeshi huyo baada ya kukutwa amevaa mavazi halisi ya...

View Article


Kijana Apigwa mawe na kisha kuchomwa moto baada ya kuiba ng'ombe wawili huko...

Mwanamme mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Sabo mwenye umri wa miaka kati ya 30 hadi 34 ameuawa kwa kupigwa mawe na fimbo na wananchi waliojichukulia sheria mkononi kisha mwili wake kuchomwa moto...

View Article

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa...

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha...

View Article


Hii ni Video ya Tukio Zima la Mama MCHAWI Aliyedondoka wakati akijiandaa...

Leo  asubuhi  tuliweka  hewani tukio  zima  la  mama  mchawi  wa  kinigeria  alyekuwa  amedondoka  chini  huku  akiwa  uchi  na  mwili  ukiwa  na  vidonda  sehemu  zote... Mama  huyo  alidondoka...

View Article

BBA Hotshots: Endelea kumpigia kura Laveda wa Tanzania kumuokoa asitoke...

Mshiriki mmoja wa Tanzania yupo kwenye hatari ya kutoka kwenye msimu wa tisa wa shindano la Big Brother Africa ‘Hotshots’ weekend hii, ambaye ni Laveda (Irene La Veda). Hivyo njia pekee ya kumuokoa...

View Article


Elani (Kenya) kutumbuiza Jumapili hii kwenye Big Brother Africa

Kundi la Kenya, Elani, linaloundwa na watu watatu, Bryan Chweya, Maureen Kunga na Wambui Ngugi litatumbuiza Jumapili hii kwenye shindano la Big Brother Africa. Kundi hilo lililotajwa pia kuwania tuzo...

View Article

Serikali yafuta Mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti

SERIKALI imefuta mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti kuanzia mwaka huu ili kuboresha kiwango cha elimu nchini.   Tamko hilo limetolewa jana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt.Shukuru Kawambwa...

View Article

Mahakama ya Kisutu yamzuia Davido kuperform katika tamasha la Serengeti...

Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu, Dar es Salaam imemzuia msanii kutoka Nigeria, Adedeji Adelek maarufu kama ‘Davido’ kuperform katika tamasha la Fiesta linaloandaliwa na Clouds Fm na Prime...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>