Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watoto 130 hufa kila siku kwa lishe duni

$
0
0
Wakati Tanzania ikisherehekea Siku ya Chakula Duniani, imeelezwa kuwa watoto 130 hufa kila siku nchini kutokana na kukosa lishe bora na matunzo sahihi.   Hayo yalibainishwa jana na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza katika hotuba yake iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dk Rajab Rutengwe.   Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>