Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mama na mwanawe wachinjwa kikatili mkoani Shinyanga wakituhumiwa kuwa ni wachawi

$
0
0
WATU wawili, Dilu Tungu (80) na mwanawe Bunya Mihangwa (45) wameuawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiofahamika baada ya kuvamia nyumba hiyo katika kijiji cha Ihugi kata ya Lyamidati wilaya ya Shinyanga kwa kile kilichoelezwa kuwa ni imani za kishirikina.   Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba 14

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>