Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Umri wa Miss Tanzania MPYA , Siti Mtemvu umezua mjadala mkubwa miongoni mwa jamii. Inadaiwa si kweli kuwa ana miaka 18

$
0
0
Siku chache baada ya kutwaa Taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zuberi Mtemvu ameibua mshangao wa aina yake kutokana na utata wa umri wake.   Utata huo uliibuka saa chache mara baada ya shindano hilo kufanyika Oktoba 10, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar ambapo wadau mbalimbali walianza kuhoji. Mara baada ya mrembo kutangazwa mshindi, habari za chini kwa chini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>