Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kijana Apigwa mawe na kisha kuchomwa moto baada ya kuiba ng'ombe wawili huko Kahama

$
0
0
Mwanamme mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Sabo mwenye umri wa miaka kati ya 30 hadi 34 ameuawa kwa kupigwa mawe na fimbo na wananchi waliojichukulia sheria mkononi kisha mwili wake kuchomwa moto baada ya kutuhumiwa kuiba ng’ombe wawili katika kijiji cha Shininga kata ya Kilago,tarafa ya Dakama wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga SACP

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>