Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu, Dar es Salaam imemzuia msanii
kutoka Nigeria, Adedeji Adelek maarufu kama ‘Davido’ kuperform katika
tamasha la Fiesta linaloandaliwa na Clouds Fm na Prime Promotion,
October 18,2014.
Amri hiyo imetolewa jana (October 17) na hakimu mkazi wa mahakama ya
kisutu , mheshimiwa D. Kisoka kufuatia maombi ya dharura
yaliyowasilishwa mahakamani hapo na
↧