Leo asubuhi tuliweka hewani tukio zima la mama mchawi wa kinigeria alyekuwa amedondoka chini huku akiwa uchi na mwili ukiwa na vidonda sehemu zote...
Mama huyo alidondoka dakika chache baada ya kujigeuza ndege na kupaa hewani akienda kuua mtoto mchanga wa binti yake wa kumzaa.
Inadaiwa kuwa. binti huyo amekuwa akizaa watoto na kufariki
↧
Hii ni Video ya Tukio Zima la Mama MCHAWI Aliyedondoka wakati akijiandaa kwenda kumuua mjukuu wake!
↧