Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete augusia UJANA Urais 2015....." Katiba hairuhusu kijana chini ya miaka 35 kugombea Urais"

$
0
0
Wakati mbio za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 zikianza kushika kasi nchini, Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana kumchagua mtu anayefanana na kijana kurithi nafasi yake.    Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja huku kukiwa na makada kadhaa ndani ya chama chake ambao wametangaza nia ya kuwania nafasi hiyo huku baadhi wakifungiwa kwa kuanza kampeni mapema na wengine wakiendelea na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>