Wakati mbio za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 zikianza
kushika kasi nchini, Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana kumchagua mtu
anayefanana na kijana kurithi nafasi yake.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja huku kukiwa na
makada kadhaa ndani ya chama chake ambao wametangaza nia ya kuwania
nafasi hiyo huku baadhi wakifungiwa kwa kuanza kampeni mapema na wengine
wakiendelea na
↧