Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Aunt Ezekiel naye Azungumzia Sakata la kutoka kimapenzi na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu

$
0
0
Staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel, amesema hakuna ukweli wowote wa yeye kutanua na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu nchini Marekani, kwani alikutana naye ukumbini, akiwa amealikwa na blog iitwayo Vijimambo ambayo hutangaza utalii wa Tanzania nchini humo kila mwaka.   Alisema wakati wa safari yake hakuelewa lolote kuhusu Waziri Nyalandu na anashangazwa na yanayozungumzwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles