Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Chadema wapinga mchakato wa upigaji kura ya maoni bila Daftari la Kudumu la Wapigakura kuboreshwa

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kitapinga kwa nguvu zote mchakato wa upigaji kura ya maoni kuamua kuikubali au kuikataa katiba inayopendekezwa, kuendeshwa bila Daftari la Kudumu la Wapigakura kuboreshwa kwanza. Kadhalika, chama hicho kimelalamikia baadhi ya kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa madai kwamba, zina upungufu. Msimamo huo wa Chadema ulitangazwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>