Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond awachana BASATA kutokana na kuziondoa nyimbo za Jux, Madee na Snura...

Ni msanii ambaye anaweza kuwa ametajwa zaidi kwenye tuzo za KTMA 2014 lakini Diamond Platnumz hajaliacha Baraza la Sanaa Tanzania likae kwa amani kwa uonevu ilioufanya kwa Jux, Madee na Snura kutokana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tangazo la Serikali kuhusu kuvunjwa kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba......

TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA Mhe. Rais aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha 5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada ya tukio la Westgate, hili ni tukio jingine la kigaidi lililoitikisa...

Baada ya tukio la Westgate ambalo lilichukua maisha ya watu wengi, jiji la Nairobi limekumbwa na tishio jingine la aina hiyo kwenye eneo la biashara la Nakumatt Junction Barabara ya Ngong ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Michael Agustine Lukindo ni mtanzania aliyefariki nchini Marekani....Mwili...

Mtanzania mwenzetu amefariki Madison Wisconsin nchini Marekani, na kwa sasa ndugu zake wanatafutwa.  Yeye ni mtu wa Tanga kwa jina la Michael Agustine Lukindo. Alikuja USA miaka mingi iliyopita,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Salamu za Rambirambi za Rais Kikwete kufuatia kifo cha mkuu wa mkoa wa Mara

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania 15 wahukumiwa kunyongwa nchini China...

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John M. Haule (kushoto) akiwa pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mhe. Lu Youqing wakati wa mkutano na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Batuli awaijia juu mastaa wanaowaharibia.....Adai kuwa tabia mbaya za baadhi...

MSANII wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuph  ‘Batuli’ amesema tabia mbaya za baadhi ya wasanii wenzao ndizo zinazowaharibia na kuwafanya wote waonekane hawana maadili. Akiongea  na GPL, Batuli alisema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Jumatano ya tarehe 26 March 2014

                  Magazeti  ya  leo  Jumatano  ya  tarehe  26  March  2014 <!-- adsense -->

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lulu Michael akubali kupiga picha za nusu uchi kwa ajili ya kuupamba ukurasa...

Baada ya Jokate Mwengelo , Diamond Platnumz, Wema Sepetu na Mr.Blue kutokea kwenye ukurasa wa mbele wa vibe tz magazine, Lulu  Michael  naye  amekubali  kuchukuliwa  akiwa  nusu  uchi  kwa  ajili  ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari njema kwa watu wanaopenda Video za Vichekesho....Fichuka wameamua...

Kampuni ya Fichuka Development Agency wameanzisha mtandao unaoitwa Fichuka Video Network  kwa ajili ya  kukuvunja  mbavu  kwa  video  zao  za  Vichekesho, Mafundisho  na  habari  muhimu......   Video...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vyeti feki 1,035 vyakamatwa kwa waombaji wa kazi nchini

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imekamata vyeti feki 1,035 (sawa na asilimia1.6) ya maombi ya kazi yaliyotumwa kwa miaka minne tangu kuanzishwa kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaji Joseph Warioba afunguka....Atoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja zake...

Wakati Ikulu ikitangaza kwamba Rais Jakaya Kikwete amevunja Tume ya Mabadiliko ya Katiba, tume hiyo imetoa ufafanuzi wa baadhi ya maeneo ya Rasimu ya Katiba.    Taarifa ya Ikulu iliyotolewa jana,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Nilipingana na Mwl. Nyerere....Nikafukuzwa ukuu wa Mkoa"....Kingunge...

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru, alisema kuwa aliwahi kuvuliwa wadhifa wa ukuu wa mkoa kwa sababu ya kutofautiana kimtazamo na hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Juhudi za kuiondoa Risasi ndani ya ubongo wa mtoto zaongezeka....Mtoto huyo...

Mtoto Satrin akiwa amebebwa na baba yake mzazi Benson Osinya ndani ya ndege kuelekea jijini Nairobi kwa matibabu.   Mtoto Satrin Osinya wakati akipatiwa matibabu mjini Mombasa baada ya kupigwa risasi....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha nne za Shilole akiwa na "Serengeti Boy" wake ndani ya mahaba mazito

KWA mara nyingine, staa anayekimbiza kwenye filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ au ‘Shishi’ ameibuka katika penzi jipya na bwana mdogo anayechipukia katika muziki wa Bongo Fleva, Nouh...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wa bunge asema hotuba ya Rais Kikwete na Jaji Warioba...

  Na Magreth Kinabo – Maelezo,Dodoma Mwenyekiti wa Bunge Maalum Katiba ,Mhe .Samwel Sitta amesema Bunge halitajadili hotuba ya Rais Jakaya Kikwete na ile ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba watakiwa kuzingatia Maslahi ya Taifa na...

  Na  Magreth  Kinabo – Maelezo, Dodoma Baadhi ya wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba wamewataka wajumbe wenzao kujitika katika mchakato wa mjadala wa Rasimu ya Katiba Mpya  itakayozingatia maslahi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Diamond avalishwa wigi la Wema Sepetu....Ukikutana naye barabarani lazima...

Picha ame-post Wema Sepetu na kwa maoni yake anasema wigi hilo limempendeza Diamond... Angalia huo muonekano wake na unadhani siku moja Diamond akuze nywere zake ziwe nyingi kama hizo?..comment mawazo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magazeti ya leo Alhamisi ya tarehe 27 March 2014

                                Magazeti  ya  leo  Alhamisi  ya  tarehe  27  March  2014 <!-- adsense -->

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA wazungumzia sababu za KUIGOMEA Kamati ya Kanuni ya Bunge la Katiba siku...

Kwenye video iliyopachikwa hapo chini, viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao ni wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, waheshimiwa. James Mbatia, Freeman Mbowe na Prof. Ibrahim Lipumba...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>